Friday, 5 August 2016

MAMBO MUHIMU KUYAFAHAMU KATIKA KUITUMIA MITANDAO YA KIJAMII

Ninapoizungumzia mitandao ya kijamii wengi tunaelewa vizuri labda kwa kupunguza wingi wa maneno naweza kuitaja michache,  mitandao hii ya kijamii nikama kitabu cha uso wengi tunaita kwa jina la "facebook" kuna "instagram ","twita" na mingine mingi tunaifahamu wenyewe.Kwa uchunguzi mdogo na wa ghafra nilioufanya nimegundua mitandao hii ikitumika vizuri iko na faida lakini pia iko na hasara kubwa Sana endapo itatumika visivyo.
Vipo vitu vingi ambavyo watu tunavifanya pasipo kujua faida na hasara yakufanya vitu hivyo japo wakati mwingine si vyema kuangalia sana upande wa hasara unapofanya kitu fulani, wenzetu wanasema "negative minds will never produce +ve things."
Kama nilivyosema vipo vitu vingi lakini kwa Leo tazungumzia kitu kimoja kitakachofuatiwa na vitu vingine vingi kwa siku nyingine. Kitu hiki ni *SOCIAL NETWORKS RELATIONSHIPS*
Matangazo ya husiano katika mitandao ya kijamii. Si vibaya wala dhambi kumtambulisha Yule umpendae kwa dhati katika mitandao ya kijamii tena inaweza kuwa vizuri zaidi kuliko vibaya kwakuwa mipaka ya watu wengine kwa huyo umpendae kwa dhati inawezakuwa mikubwa kwaajili yakulinda mahusiano yenu.
Lakini hakuna kitu chenye faida kisicho na hasara,  hasara yakufanya hivyo naamini tunazijua ila naweza tu kuikumbushia moja.  Hasara inakuja pale migogoro inapoibuka katika mahusiano na wakati mwingine mahusiano kuvunjika kabisa!  Kweri inaumiza sana kwasababu hapo ndipo utakapoiona hasara ya huo mtandao wako uliokuwa ukiutumia kuwaonesha watu ni jinsi gani ulikuwa unampenda kwa dhati huyo mwenzi wako.
                             USHAURI
Mimi na wewe tuwe makini katika matumizi ya mitandao yetu ya kijamii tunayoipenda sana sana kwasababu kuna Leo na kesho, kwa hakika hatuwezi fahamu kitatokea nini. Hivyo basi ili kuepuka kumuumiza mtu au kuumizwa au kuumizana kupitia mitandao kitu chakwanza kabisa nikuwa makini na kitu unachopost, au huyo unaemtambulisha kwa umma! Je huyo unaempost kwa Upendo wako wa dhati kutoka moyoni na sehemu zote za mwili wako anautambua uepo wako katika maisha yake? Kama anautambua basi kunavitu ambavyo hakika ni yeye atakaesaidia huo mtandao wakijamii usionekane mchungu kwako mbele ya wanajamii hata endapo utatokea mgogoro wa aina yoyote katika mahusiano yenu.
Sina mengi, Mwenyezi Mungu akijaalia tutaendelea kupeana mengine mengi na mazuri zaidi. Maoni, ushauri na mchango wako wowote kuhusiana na hili jambo kadili mwenyezi Mungu alivyokuongoza niwamuhimu na unakaribiswa sana.

Saturday, 11 June 2016

KWA PAMBA KALI ZENYE MVUTO

 Kwa pamba nyepesi na kali zenye mvuto wa hali ya juu kwaajiri yako mrembo au kwa ajiri ya mrembo wako pamoja na viatu dizaini mbarimbari ukiwa Sumbawanga wasiliana na huyu mrembo kwa nambari ifuatayo: 
voda-0766069926airtel-0789906671
Hizi ni baadhi ya hizo pamba na viatu:

















Thursday, 9 June 2016

JAMBO KUBWA LA KUZINGATIA KABLA YA TAREHE 16 MWEZI HUU



 
Jambo la msingi na lakuzingatia zaidi mapema kabla ya tarehe 16/6/2016  nikufanya backup! Kumbuka kuhamisha file zako kabla ya siku hiyo ili ikitokea simu yako ikafungiwa, kwasababu huezi jua angarau kumbukumbu zako ziwepo sehemu nyingine.
             ASANTENI.!

Wednesday, 8 June 2016

MANENO YENYE BUSARA


 
Mpende akupendae, na asiekupenda mpende pia lakini kamwe usimlazimishe nae akurudishie upendo ulionao kwake. Just forgive and forget,
wake-up everyday and move on!

Tuesday, 31 May 2016

MAISHA NA UJANA

Unalizungumziaje swala la ujana na mob psychology? ACHA COMMENT YAKO KWENYE COMMENT BOX HAPA CHINI

Thursday, 26 May 2016

SPIRITUAL WORD


YESU NDIO DEREVA WA MAISHA YANGU, SIKU ZOTE ANANIONGOZA NA KUNIPITISHA KATIKA NJIA ILIYO SALAMA. UNAAMINI HIVO? COMMENT NA SHARE UJUMBE HUU NA WENGINE.

SUNDAY VIBES

Well known ! Dhambi zote ni sawa, ila dhambi yakukata tamaa imezidi kidogo dhambi nyingine! AS longer as you are a real human being expect a...