Hiki ni kipindi cha kufunga, kulia na kusali. Maandiko yanasema, na tuirarue mioyo yetu na sio mavazi yetu. Na tena yanatukumbusha kuwa, wakati ndio sasa (huu) na si mwingine kwa kuwa hatujui siku wala saa atakapokuja mwana wa Adam (mkombozi wa ulimwengu) Yesu kristo. Basi napenda kuchukua nafasi hii kukutakia siku hii kuu mkristo mwenzangu ya majivu iwe njema kwako na uwe na mfungo mwema.
MAJIVU; Sisi tu mavumbi na mavumbini tutarudi. Amen.
Wednesday, 1 March 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
SUNDAY VIBES
Well known ! Dhambi zote ni sawa, ila dhambi yakukata tamaa imezidi kidogo dhambi nyingine! AS longer as you are a real human being expect a...
-
Mpende akupendae, na asiekupenda mpende pia lakini kamwe usimlazimishe nae akurudishie upendo ulionao kwake. Just forgive and forget, ...
-
YESU NDIO DEREVA WA MAISHA YANGU, SIKU ZOTE ANANIONGOZA NA KUNIPITISHA KATIKA NJIA ILIYO SALAMA. UNAAMINI HIVO? COMMENT NA SHARE UJUMBE...
No comments:
Post a Comment